Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ripoti zinadai kuwa mlipuko umejitokeza katika moja ya vituo vya kidini vya Waislamu wa Shia mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan.
Tukio hili limetokea mchana huu sambamba na ibada ya Sala ya Ijumaa, na kulingana na taarifa za awali, idadi ya waumini wamejeruhiwa.
Your Comment